Na hasira nao viongozi wajiuzuru haraka,haiingii akilini mara yakwanza walishindwa kuwalipia wageni hoteli kwamba ni nje ya makubaliano
ila hii ya pili ni kali ya n timu (ya mabondia) ikale majumbani kwao halafu warud! kupiganaahh hata ningekuwa maimi nisingerudi hizi dharau halafu ni kashfa kwa kazi yao bana!
No comments:
Post a Comment